FUNDI BENNARD MORISSON
Mtoto mmoja aliomba sehem ya Mali kwa baba yake akaenda safari ya mbali kwenda kuitumia bila mafanikio Sasa aliomba kurudi tutamkataa?
Leo tumemtambulisha kwenu mtoto wa nyumbani BENNARD MORISSON Kama mchezaji halali wa yanga na ataendelea kukiwasha Kama kawaida yetu
Karibu Sana nyumbani karibu Sana nyumbani Tena karibu sana

0 Comments